kutawadhia udhu.
Kizungu chake mwambie [B][I][U]FaizaFox[/U][/I][/B]y akusaidie maana sisi wengine shule tulienda kusomea ujinga hukoooo kwenye shule ya umoja wa wazazi wa CCM Ivumwe
YEREWIIII....... DUH..... HILI TUSI LIMELETWA KWENU KWA HISANI YA DONALD TRUMPhuyo stresed individual,.??
Naona kama unataka tetea ujinga,,... MU stands for the college that is Mzumbe.acha u ......Sijui. Tafuta jina lingine labda utapatia. Mi nimesema tu MU we sasa jiongeze kama ni Mzumbe,Muhimbili,Mwenge University na zingine unazojua ww..
Ila huyo mtoto acha kumattack. Anastahili mkopo ndiyo maana kapewa na mpaka sasa anao na ataendelea kudunda nao.
Alafu unavyosema 24/7 yupo humu,mbona sasa hivi na mchana hakuwepo huku?
Aisee acheni kumsumbua mama yenu,yupo bafuni anaoga akitoka nitamwambia wana chuo wenzie mnamuulizia anasoma saa ngapi????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]scorpio me njoo umetungiwa uzi. Sijui umekua bzy sana huku mpaka watu wanasema unasomaga saa ngapi.
Kiufupi tu ni kwamba,Kwa sasa yupo likizo na anasubiri mpaka February ndipo arudi chuoni MU. Hiki ni kipindi chake cha likizo kwa hiyo ana uhalali wa kukaa huku muda anaojisikia yeye.
Kuna libabu limoja linaitwa Bujibuji linamnyemelea ila nishamuahidi kumoiga bastola.
Mkuu dear wako tena? Mbona tunazidisha mazoea Mkuu wangu. Ni mke wangu huyu.scorpio me njoo dear wangu naona wanakutafuta sijui wana nia gani?
Mkuu acha utani kabisa na Mke wangu. Leo kachoka sana. Atarudi asubuhi sana humu aje amtolee ufafanuzi huyu mkuu!Aisee acheni kumsumbua mama yenu,yupo bafuni anaoga akitoka nitamwambia wana chuo wenzie mnamuulizia anasoma saa ngapi????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja aje uone anavyoniunga mkono mimi.Mkuu dear wako tena? Mbona tunazidisha mazoea Mkuu wangu. Ni mke wangu huyu.
[emoji38][emoji38][emoji36]chuo? uliza ueleweshwe scorpio me yuko madrasa kwa Shehe ULEDI
Samahani mkuu kumbe wewe ndio yule kibabu anasema unamsumbua sumbua enheeee hahahahaha nashukuru kukufamu pia akiamka nitamfahamisha kwamba ulipiga simu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu acha utani kabisa na Mke wangu. Leo kachoka sana. Atarudi asubuhi sana humu aje amtolee ufafanuzi huyu mkuu!
Chuo tena mkuu na uzee huu???Kama unaniona maeneo ya hapo chuo ni kwamba nafanya jambo la ulinzi shirikishi tuu kuhakikisha dada yenu Scorpio me namleta/kumrudisha ilimradi asipatwe na stress bwn mdg[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]wewe uko chuo gani??
Akiamka kutoka wapi,..??? romboo,..!Samahani mkuu kumbe wewe ndio yule kibabu anasema unamsumbua sumbua enheeee hahahahaha nashukuru kukufamu pia akiamka nitamfahamisha kwamba ulipiga simu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahahahahahaaaa amekuja kuchukua masurufu huku nanjilinji,sasa si mnajua anavyojipenda mama yenu aliingia kuoga kidogo baada ya vishughuli vya hapa na pale,anavaa hv sasa atakuja kuwajibu hoja zenu msihofu vijana....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akiamka kutoka wapi,..??? romboo,..!
Wakuu siwaelewi kwa nini mnakigombania hiki kibinti, juzijuzi tu kimekuja hapa hospitali kwetu tumekichoropoa kibendi sijui kilikua cha nani sasa kati yenu .. tena kwa taarifa yenu kimeniahidi game la nyoka kikiponaAisee acheni kumsumbua mama yenu,yupo bafuni anaoga akitoka nitamwambia wana chuo wenzie mnamuulizia anasoma saa ngapi????[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu acha utani kabisa na Mke wangu. Leo kachoka sana. Atarudi asubuhi sana humu aje amtolee ufafanuzi huyu mkuu!