kwa-muda
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 2,097
- 5,348
Kama kuna watunzi wazuri ambao wamewaandikia wasanii wengi na nyimbo zikawa hit akiwemo Maua Sama, akina Nandy na wengine wengi tu ni Ibra Nation.
Watu wengi wamemjua kwa wimbo wake wa Nilipize, japo hapo katia ametoa nyimbo kadhaa na sasa wimbo wake wa Tabibu lakini jamaa hatoboi.
Kila mtu anakubari kwamba jamaa ni mwandishi mzuri na anaowaandikia wanatoboa lakini yeye anatoa nyimbo nzuri lakini hapenyi.
Jamaa ana sauti nzuri ana melody nzuri lakini ameshindwa toboa sijui kwasababu gani. Huwezi sema anabaniwa maana alikuwa kwenye circle ya clouds kwenye zile studio ambako wakina nandy wanafanyia mziki na maproducer kama ringtone, kimamba, na wengine.
Watu wengi wamemjua kwa wimbo wake wa Nilipize, japo hapo katia ametoa nyimbo kadhaa na sasa wimbo wake wa Tabibu lakini jamaa hatoboi.
Kila mtu anakubari kwamba jamaa ni mwandishi mzuri na anaowaandikia wanatoboa lakini yeye anatoa nyimbo nzuri lakini hapenyi.
Jamaa ana sauti nzuri ana melody nzuri lakini ameshindwa toboa sijui kwasababu gani. Huwezi sema anabaniwa maana alikuwa kwenye circle ya clouds kwenye zile studio ambako wakina nandy wanafanyia mziki na maproducer kama ringtone, kimamba, na wengine.