Hivi Identity ya Aziz K si ni Kukunja Bukta tu, sasa iweje leo Mashabiki tunaambiwa tubebe Funguo Viunoni mwetu kama Wanyasa?

Hivi Identity ya Aziz K si ni Kukunja Bukta tu, sasa iweje leo Mashabiki tunaambiwa tubebe Funguo Viunoni mwetu kama Wanyasa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo Fito zako kwani Mashabiki wote Watakimbia Chama la Wazi' Stadium Mbagala na kuwaachieni Timu yenu wakihisi labda wamevamiwa na Kibwengo.
 
Mropokaji wetu 'Hali tena Kamwe' chonde chonde Mdogo wangu kwa hizo Fito zako ( Miguu yako myembamba kama Mifyagio ya Chelewa ) uliyonayo Usithubutu Kuvaa Bukta na Kuikunja ili utuonyeshe hizo Fito zako kwani Mashabiki wote Watakimbia Chama la Wazi' Stadium Mbagala na kuwaachieni Timu yenu wakihisi labda wamevamiwa na Kibwengo.
Wewe mwana Simba Simba wa MSIMBAZI nani kakwambia ubebe funguo?
 
Back
Top Bottom