Hivi iko sawa mwanaume kumtumia mume mwenzio 'emoji' za love?

Yawezekana wewe ndiye tatizo, maani haiwezekani kila ukija huku dar watu wakupende, jichunguze, labda umekaa kimdebwedo, c unajua huku pwani mamno yao
 
Yawezekana wewe ndiye tatizo, maani haiwezekani kila ukija huku dar watu wakupende, jichunguze, labda umekaa kimdebwedo, c unajua huku pwani mamno yao
Maneno yametosha mkuu
Sitak nikukosee adabu.
 
POLE SANA MKUU....BINAFSI HAYO MAMBO YANANITOKEA SANA...WANAUME WENGI WANANISUMBUA...kwa utafiti wangu nimegundua DAR..ndo wapo wengi wanaopenda mambo ya USHOGA...SIJUI WANAUME WA DAR WAMELANIWA..



Maana kuna watu wanataka kunipa hela ili NIWAKAZE lakini huwa nawaBROCK
 
Broo isije ndiyo wewe unatakiwa kufanywa chakula, labda sura yako inamvuto hao jamaa (mende) , utawaona kama mabwege flani vile ukijichanganya kama unavyojichanga wewe watakula mzigo
 
Emoji za love ni kwa ME kwenda kwa KE au KE kwa ME... ikiwa ME anamtumia ME mwenzake KUNA WALAKINI KATI YAO
 
Inaonekana ulilawitiwa utotoni?

Una hasira sana zilizopitiliza.

Maisha ni mepesi sana, say NO or YES and you quit.

Ukitongozwa si unasema HAPANA tu.

Ndio mpaka ulie hivi??
 
Kwa hii post shida ni dhahiri inaanzia kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…