utopolo og
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 575
- 1,575
Mara baada ya aliyekuwa mtendaji mkuu wa Simba Barbara Gonzalez kuzuiliwa kukaa jukwaa kuu na watoto wake alikuja na wazo la Simba ijenge uwanja wake.
Ninaomba Wana Simba wenzangu mnisaidie kujibu haya maswali;
(1) Ile kampeni yetu ya kuchangia ujenzi wa uwanja wa Simba imeishia wapi?
(2) Je, zile fedha ambazo tulichanga kwa ajili ya ujenzi wa uwanja zimeenda wapi?
(3) Je, waliotoa wazo la Simba inaweza kujenga uwanja wake wako wapi kutupa mrejesho wa hatua gani wamefikia?
(4) Je, hela zetu zimeliwa na viongozi wa Simba?
(5) Je, mwekezaji wetu ndugu mwamedi yeye alitoa ahadi ya kuchangia bili 2 kwenye ujenzi, je, ametekeleza hiyo ahadi yake?
Ninaomba Wana Simba wenzangu mnisaidie kujibu haya maswali;
(1) Ile kampeni yetu ya kuchangia ujenzi wa uwanja wa Simba imeishia wapi?
(2) Je, zile fedha ambazo tulichanga kwa ajili ya ujenzi wa uwanja zimeenda wapi?
(3) Je, waliotoa wazo la Simba inaweza kujenga uwanja wake wako wapi kutupa mrejesho wa hatua gani wamefikia?
(4) Je, hela zetu zimeliwa na viongozi wa Simba?
(5) Je, mwekezaji wetu ndugu mwamedi yeye alitoa ahadi ya kuchangia bili 2 kwenye ujenzi, je, ametekeleza hiyo ahadi yake?