Hivi ile kampeni ya Simba kujenga Uwanja wake imeishia wapi?

Hivi ile kampeni ya Simba kujenga Uwanja wake imeishia wapi?

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Mara baada ya aliyekuwa mtendaji mkuu wa Simba Barbara Gonzalez kuzuiliwa kukaa jukwaa kuu na watoto wake alikuja na wazo la Simba ijenge uwanja wake.

Ninaomba Wana Simba wenzangu mnisaidie kujibu haya maswali;

(1) Ile kampeni yetu ya kuchangia ujenzi wa uwanja wa Simba imeishia wapi?

(2) Je, zile fedha ambazo tulichanga kwa ajili ya ujenzi wa uwanja zimeenda wapi?

(3) Je, waliotoa wazo la Simba inaweza kujenga uwanja wake wako wapi kutupa mrejesho wa hatua gani wamefikia?

(4) Je, hela zetu zimeliwa na viongozi wa Simba?

(5) Je, mwekezaji wetu ndugu mwamedi yeye alitoa ahadi ya kuchangia bili 2 kwenye ujenzi, je, ametekeleza hiyo ahadi yake?

sddefault(1).jpg
maxresdefault(20).jpg
 

Attachments

  • mqdefault(3).jpg
    mqdefault(3).jpg
    18.4 KB · Views: 5
Lakn walau Simba wameonyeaha uthubutu

Uwanja upo sema.haujaisha.kw maana majukwaa sehemu ya kubadilishia nguo n ukuta

Simba hawakod.uwanja wa mazoez.wanao wakwao
 
Back
Top Bottom