Sema wabongo tunachukulia mambo poa poa sana, ila kuigiza muvi kunataka mtu Mwenye elimu ya juu, kama sio elimu basi awe mtu Mwenye exposure kubwa sana na jamii mbalimabali ndani na nje ya nchi au awe mtu Mwenye kipaji haswa.
Na director lazima awe genius, hakuna option nyingine Hapa.