Hivi ile ya mwili wa marehemu kugoma kuzikwa mahala fulani huwa imekakaaje? Huwa kuna energy fulani au ni mazinga ombwe tu?

Hivi ile ya mwili wa marehemu kugoma kuzikwa mahala fulani huwa imekakaaje? Huwa kuna energy fulani au ni mazinga ombwe tu?

Utayasikia hayo kwenye jamii duni yaani zisizoelimika.

Tofautisha kuelimika na kwenda shule.
 
Back
Top Bottom