Hivi ilikuaje mpaka ukapata supplementary chuo

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Ulijiskiaje?
Una ushauri gani kwa wanaosoma chuo sasa hivi, juu ya supplementary.

Darasani kwenye lectures, seminars, presentations, group discussions, etc.; hujawahi kukosa hata siku moja, matokeo yake unakamatwa na supplementary na unatakiwa kusapua.

Huwa kitu gani kinaingila hapo kati na kuchochea hali hiyo, akati kuna watu hata darasani hawaingii na hawakumbani na changamoto hiyo. Au ni kukosea namna ya kujifunza mambo?
 
niikuta chini ya kiti, nahisi kuna mwanachuo aliisahau

hivyo ndivyo nilivyo ipata, hadi leo ipo ni ya blue bahari ivi zile model za zamani ngumu balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…