Hivi ina maana ile boeing max mpya, ilipelekwa Brazil halafu fasta ikarudishwa Tanzania

Hivi ina maana ile boeing max mpya, ilipelekwa Brazil halafu fasta ikarudishwa Tanzania

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Wenye mamlaka mnaenjoy sana.

Mngejua hali ya huku chini basi tu.

Wanamahesabu tuambie approximately ilitumia kiasi gani

Siamini kama nakunywa gongo.

Nimemaliza.
 
Kile kitabu cha Nicolaus Machiavelli kama tungepata kukisoma wengi wetu tungejua haswa watawala dhamiri zao nini haswa.
 
Kweli ulitegemea apande jahazi kwenda huko? Si angefika baada ya mwaka na kuambiwa Sasa mkutano inaendelea huko kwingine hapa uliisha mwaka Jana.
Kuweni serious huyu ni rais wa nchi ana heshima zake.
Safari ya direct imemchukua labda masaa 8 tu angepanda ndege za abiria labda siku mbili kufika huko.
Na pia ana safiri na wasaidizi wengi.
Mama chapa kazi tu.
 
Kweli ulitegemea apande jahazi kwenda huko? Si angefika baada ya mwaka na kuambiwa Sasa mkutano inaendelea huko kwingine hapa uliisha mwaka Jana.
Kuweni serious huyu ni rais wa nchi ana heshima zake.
Safari ya direct imemchukua labda masaa 8 tu angepanda ndege za abiria labda siku mbili kufika huko.
Na pia ana safiri na wasaidizi wengi.
Mama chapa kazi tu.
We naye nipe point tano kwamba safari ilikuwa na manufaa. Kama ulikuwa kwenye delegation usijibu
 
Wenye mamlaka mnaenjoy sana.

Mngejua hali ya huku chini basi tu.

Wanamahesabu tuambie approximately ilitumia kiasi gani

Siamini kama nakunywa gongo.

Nimemaliza.
Ni kizungumkuti na kizunguzungu tupu
 
Ni kizungumkuti na kizunguzungu tupu
Naona machawa wameogopa kabisaa hii post, comments zimekuwa chache sana.

Sema Mungu huyu ngoja tu kuna siku kuna chama tawala kinacho jielewa nacho kitaongoza Dola
 
Back
Top Bottom