Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Mimi nilijisajili NSSF mwezi May. Kulingana na taratibu za ofisi yetu bado mwajiri wangu hajaanza kutuma hiyo fedha huko. Hivi kule wananiandikia deni au inakuaje? Msaada wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salary Slip inasemaje? Kama haujaanza kukatwa inamaanisha haujaanza lipa.
Hauandikiwi deni boss.
Wanakuwekea sifuri tu,hakuna deni.Siku mwajiri akipeleka wanakujazia.Mimi nilijisajili nssf mwezi May. Kulingana na taratibu za ofisi yetu bado mwajiri wangu hajaanza kutuma iyo fedha huko. Hivi kule wananiandikia deni au inakuaje? Msaada wakuu
Anayepeleka pesa ni boss,kama Kuna shida atakayekabwa ni boss siyo wewe.Asante. Na ukishaanza kulipa ukipitisha mwezi bila kulipa haileti shida?
Nenda ofisi za nssf zilizokaribu nawe,nenda ofisi ya malalamiko,utapewa form utaenda nayo kwa mwajiri ataijaza na watamkaba atalipa.Hivi kama boss alikuwa hapeleki na mkataba ukaisha mkaachana unafanyaje apeleke malipo yako?
Hivi najiungaje NSSF online?Salary Slip inasemaje? Kama haujaanza kukatwa inamaanisha haujaanza lipa.
Hauandikiwi deni boss.
Hivi kama Mimi nilikua nafanya kazi na KAZI ikaisha. Na boss wangu amefariki, na fedha yangu ipo nssf. Nafanyaje Ili niipate?? Maana Sina wakunijazia zile fomu za michangoNenda ofisi za nssf zilizokaribu nawe,nenda ofisi ya malalamiko,utapewa form utaenda nayo kwa mwajiri ataijaza na watamkaba atalipa.