Hivi inakuwaje mwanaume mwenzangu unatupa habari kuhusu kugongewa mkeo au mpenzi wako humu jf ?

Kisai

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2018
Posts
28,481
Reaction score
28,749
Hata kama hatuhujuani,hivi huu ujasiri wahusika huwa wanaupata wapi ?

Maana daah,kwa mtazamo wangu,narudia tena kwa mtazamo wangu naona haijakaa sawa na si katika sifa zetu sisi wanaume,labda uwe unasema uongo na kuleta mzaha na kwanini useme UONGO na kuchezea watu akili ?

Nipo......
 
wanajua mapungufu yao ndo maana mwisho wanasema wanaomba ushauri.
 
JF Ni njia mojawapo ya kupunguza stress.
 
Mi wakati najiunga nlikuta threads za maana unasoma hadi unasisimka lakini siku hizi intelligent na great thinker mtu anaandika vitu vya kishamba kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…