Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,457
Alianza Shamsa ... sasa naona Shy-Rose anafuata nyayo.... Inawezekana huna chochote cha kuwaambia wapiga kura zaidi ya kupiga magoti na kuomba wakuchague?
Source: Imeripotiwa na : Tanzania Daima/Mwananchi/Nipashe
Jimbo la Kinondoni
Mgombea ubunge, Shy - Rose Bhanji, alipiga gwaride na kupiga magoti kuwaomba wananchi wampe nafasi hiyo huku akisisitiza kuwa kitendo chake hicho ni kuonyesha unyenyekevu na ukomavu. Mgombea mwingine Mpoki Mwambulukutu, alikuwa akitembea na vyeti vyake vya taaluma ili kuwaonyesha wananchi uwezo wake wa kielimu na kitaalamu.
Source: Imeripotiwa na : Tanzania Daima/Mwananchi/Nipashe