Kwani lazma serikali imiliki mbna nchi nyingine mali ya mwananchi km kenyaArdhi inamilikiwa! Nani anamiliki hewa?
Sheria za Ardhi za Tzn zinakutambua wewe kama mpangaji tuu huna chako.Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani
Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji
Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli
Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa
Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu
Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
Tzn sio Kenya Kila Nchi Ina sheria zake.Sheria za Bongo zinalenga Kuzuia kuhodhi ArdhiKwani lazma serikali imiliki mbna nchi nyingine mali ya mwananchi km kenya
Haya hata ikiwa hivyo ardhi kwann ulipe na jengo pia unalipia
Na kodi ya pango ni ya nn? Ebu nielezeeTzn sio Kenya Kila Nchi Ina sheria zake.Sheria za Bongo zinalenga Kuzuia kuhodhi Ardhi
Kwakuwa sio muislamu.Nikiwaambia Mwigulu ni bomu hamnielewi.
Pale Marehemu analala bure halipii hata 100Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa
Bomu la aina gani?Nikiwaambia Mwigulu ni bomu hamnielewi.
Ardhi ni kama hewa?Nani alikudanganya?Unajua hata kaburi la Yesu lililipiwa?Utajua tu.Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani
Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji
Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli
Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa
Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu
Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
Ndio binadamu amewai itengeneza ardhi? Kuhusu yesu si comment sina uhakika na hizo story ckuwapoArdhi ni kama hewa?Nani alikudanganya?Unajua hata kaburi la Yesu lililipiwa?Utajua tu.
Sasa huoni kuna shida hapoPale Marehemu analala bure halipii hata 100
Shida sio mtu hii nchi shida mvumo woteKwakuwa sio muislamu.
Time Bomb.Bomu la aina gani?
Naam, ulijuwaje?Kwakuwa sio muislamu.