Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwani upepo/hewa alitengeneza nani?Ardhi ni ya kwako au ulitengeneza?Mpe Kaizari yaliyo yake.Tafuta ugomvi ufurushwe.Ndio binadamu amewai itengeneza ardhi? Kuhusu yesu si comment sina uhakika na hizo story ckuwapo
Kuna mambo ukiyafikiri hapa duniani Unastaajabu..yaani
Wakati unanunua kiwanja unalipa kodi Wakati unapima kodi
Wakati unaomba kibali cha ujenzi kodi
Wakati unajenga kodi za material
Wakati unajenga kodi za service kuingiza umeme,maji
Tena upo ndani ya nyumba unalipia nyumba na kiwanja? Kweli
Swali langu ardhi ya makaburini nani analipia je na kaburi linalipishwa
Ardhi ni km hewa..huwezi lipia sababu sio man made.....sawa maji ni huduma za service na umeme tunalipa sababu ya miundombinu
Km kodi ya ardhi ni sawa kodi ya jengo ni yakutoa kabsa
Utaitwa gaidi🤣🤣Na bado ukijisikia kuchoma moto nyumba yako uliyojenga kwa hela zako unashitakiwa
🤣🤣ukijiua mwili wako mwenyewe maumivu yako ila ukinusurika kupona gerezani......Pumzi yako tu ndio wamekuachia usiilipie Kodi ungekua unailipia Kodi sidhani km ungekua bado unaishi
Sasa gerezani watakulinda ukiamua Si unaenda kujimalizia tu🤣🤣ukijiua mwili wako mwenyewe maumivu yako ila ukinusurika kupona gerezani......
Huko nako mhhh tuyaache tuKilimo kwanza
We acha tu....shida zote unarundikiwa ww kodi,dhulma., yakikushinda depression ni zako🤣🤣Sasa gerezani watakulinda ukiamua Si unaenda kujimalizia tu