Amen.. Napenda baraka sananimekupata mkuu... ubarikiwe
Ila huwa inafanyiwa balance Chemical Equations na mambo yanakuwa sawa.Hio inaitwa complex chemistry
Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Hahahahahaha haya banaIla huwa inafanyiwa balance Chemical Equations na mambo yanakuwa sawa.
Mpende akupendae asiyekupenda achana naye..!Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Majibu yake yako kwenye ile article ya amuNaamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Mda sahihi haujafikia mkuuNaamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Ni kweli kwani hata mie najiulizaga sana juu ya hili ila nina moyo wa ujasili tu.….mwanamke nisiyemtaka akinijia simvumilii, namwambia kabisa ili ajijuwe where I stand juu yake. Kwa kweli inakera sana, utakuta wakati mwingine lijanajike limejichubua na kunuka harufu za hajabu mwilini huku limevaa mavuzi ya wengine (wig) kichwani anakuja kwako huku akijichekesha. Yaani basi tu, nyie wanawake hamjuwi tu tunavyochukia mikorogo yenu na hayo mavuzi yenu ya kichwani.
hakuna hiyooo, asante kunitia moyoMda sahihi haujafikia mkuu
Hakika atatokea mtu mtapendana hadi utajiuliza alikuwepo wap sku zote hizo
Hao wanaopita kwako ni tuition tu bado
Ok hongera sna mkuu , hio ndo life cycle by the wayhakuna hiyooo, asante kunitia moyo
Nani amefukua tena hili kaburi? nimeshampata anayenipenda nami nampenda
God is good always