hahahaMpende akupendae asiekupenda zaa nae.
Eeeehhahaha
kweli ?
[emoji23][emoji23][emoji23]ma nini ya kichwani!!!!
It happens alot Nourhan 😙💓Naamini kwa kuwa wana JF ni ma great thinkers watanisaidia kwa hili,
Yamenikuta mimi to be open.
Hivi unawezaje kumudu hii hali??Unakuta jamani unaempenda hakupendi kama wewe unavyompenda(yaani % sawa) na vilevile ambaye humpendi ndo kwanza anakusumbua.
Mimi hili swali naulizaga mara nyingi bila majibu yenye kufumbua my MEDULA OBLANGATA
Huna akili aseeMpende akupendae asiekupenda zaa nae.
HujaulizwaWakati mwingine hadi unatamani kuwabadilisha ,huyu awe yule na yule awe huyu