Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari iliotumika hapa lazima watakuwa wameisafisha hiyo gari vya kutosha.Inawezekana....ila unapaswa ujue yard na yard...ndinga ilotumika hapa utaijua tu...kapeti zitakuwa zinatema balaa,michanga,engine chafu ma air freshner za kimachinga...seat zitakuwa zinatoa harufu ya jasho la kibongobongo. Yard ikiwa ina wapambe kama 10 wanakuzonga ujue kuna tabu
😀😀😀😀Inawezekana....ila unapaswa ujue yard na yard...ndinga ilotumika hapa utaijua tu...kapeti zitakuwa zinatema balaa,michanga,engine chafu ma air freshner za kimachinga...seat zitakuwa zinatoa harufu ya jasho la kibongobongo. Yard ikiwa ina wapambe kama 10 wanakuzonga ujue kuna tabu