Gari iliotumika hapa lazima watakuwa wameisafisha hiyo gari vya kutosha.Inawezekana....ila unapaswa ujue yard na yard...ndinga ilotumika hapa utaijua tu...kapeti zitakuwa zinatema balaa,michanga,engine chafu ma air freshner za kimachinga...seat zitakuwa zinatoa harufu ya jasho la kibongobongo. Yard ikiwa ina wapambe kama 10 wanakuzonga ujue kuna tabu
ππππInawezekana....ila unapaswa ujue yard na yard...ndinga ilotumika hapa utaijua tu...kapeti zitakuwa zinatema balaa,michanga,engine chafu ma air freshner za kimachinga...seat zitakuwa zinatoa harufu ya jasho la kibongobongo. Yard ikiwa ina wapambe kama 10 wanakuzonga ujue kuna tabu