bush crazy
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 767
- 1,083
Naombeni muongozo wadau kabla ndugu yangu hajichanganya maana Ana GPA ya 4.4 anataka kusoma masters open ili aje apambanie u-assitant lectucter?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oh! Ahsante!!Kama kinatambulika na TCU anaweza fundisha Chuo chochote
Naombeni muongozo wadau kabla ndugu yangu hajichanganya maana Ana GPA ya 4.4 anataka kusoma masters open ili aje apambanie uassitant lectucter.?
Wala usiwe na mashaka naye ndio wasomi wa siku hizi walivyo.Amepata GPA 4.4 akawa hajui issues ndogo kama hizo? nina mashaka naye
GPA ya chuo gani? Vile kama tuition centresNaombeni muongozo wadau kabla ndugu yangu hajichanganya maana Ana GPA ya 4.4 anataka kusoma masters open ili aje apambanie uassitant lectucter.?
Kweli ni vilaza kweli[emoji848][emoji848]Open University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.
Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga
OpenGPA ya chuo gani? Vile kama tuition centres
GPA ya chuo gani? Vile kama tuition centres
Naombeni muongozo wadau kabla ndugu yangu hajichanganya maana Ana GPA ya 4.4 anataka kusoma masters open ili aje apambanie uassitant lectucter.?
Hiyo ni tuition centre, sio chuo kikuuOpen
Hizi GPA siyo halisia.amepataje GPA 4.4 akawa hajui issues ndogo kama hizo? nina mashaka naye
Nyuzi zako tu huwa zinaonesha wewe ni kiazi kitamu,kiunde,juma kilaza.Open University ni chuo cha vilaza. Kusoma hapo tu undergraduate inaonyesha hali aliyo nayo kichwani. Kati ya vyuo ulivyotaka hakuna hata kimoja ataweza kufundisha.
Namshauri Masters asome katika moja ya hivyo vyuo alafu apate GPA kubwa(4.4 na kuendelea) Kama hiyo aliyopata hapo Open. Vinginevyo mwambie atulize mbwanga