Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
Hii imenitokea mimi hivi punde!!
Stori ni hivi:
Unajua kuna siku wakati nafanya kazi ya Customer care ofisini, nilipigiwa simu na mteja akanieleza tatizo lake na baadaye nikamtatulia tatizo lake, sasa baada ya muda mfupi akanipigia tena juu ya huduma nyingine zinazohusina na huduma ya ofisi.
Hapo sasa ndo ilikuwa mwanzo wa mahusiano yetu, unajua ilikuwaje? Badala ya kuzungumzia khs huduma akazungumzia vitu vingine nje ya huduma za ofisi, mambo aliyoyagusia ni kama ninaishi peke yangu, au nina mchumba na mengine mengi.
Lkn kinachonishangaza kila akipiga simu topic ni nyingine na si ya kujirudia! Kwa muendelezo huo umetufanya tuwe karibu sana kimawasiliano na mpaka tukafikia hatua ya kujiuliza kwanini imekuwa hivyo? Huyu kwa kweli amenipa wakati mgumu sana.
Hivi inakuwaje kuwaje kufikia kiasi cha kuzimiana kwa mtindo huu? Mimi huwa najiuliza sana khs hili maana haijawahi kunitokea asilani, nikahisi labda alivyoniuliza kama nina mchumba nikamjibu sina,nikahisi labda hilo ndo sababu!!!
Stori ni hivi:
Unajua kuna siku wakati nafanya kazi ya Customer care ofisini, nilipigiwa simu na mteja akanieleza tatizo lake na baadaye nikamtatulia tatizo lake, sasa baada ya muda mfupi akanipigia tena juu ya huduma nyingine zinazohusina na huduma ya ofisi.
Hapo sasa ndo ilikuwa mwanzo wa mahusiano yetu, unajua ilikuwaje? Badala ya kuzungumzia khs huduma akazungumzia vitu vingine nje ya huduma za ofisi, mambo aliyoyagusia ni kama ninaishi peke yangu, au nina mchumba na mengine mengi.
Lkn kinachonishangaza kila akipiga simu topic ni nyingine na si ya kujirudia! Kwa muendelezo huo umetufanya tuwe karibu sana kimawasiliano na mpaka tukafikia hatua ya kujiuliza kwanini imekuwa hivyo? Huyu kwa kweli amenipa wakati mgumu sana.
Hivi inakuwaje kuwaje kufikia kiasi cha kuzimiana kwa mtindo huu? Mimi huwa najiuliza sana khs hili maana haijawahi kunitokea asilani, nikahisi labda alivyoniuliza kama nina mchumba nikamjibu sina,nikahisi labda hilo ndo sababu!!!