Hivi inawezekana rais bachelor kukaa ikulu?

Hivi inawezekana rais bachelor kukaa ikulu?

Obugwa Izoba

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2013
Posts
10,033
Reaction score
10,622
Jaman naomba kuuliza kama inawezekana rais asiye na mke akaingia ikulu.
Nauliza hv kwa sababu vijana wapenda mageuzi tunataman dr. wetu Slaa aingie ikulu lakini ninavyojua mimi dr. ana mchumba tu josephine. Josephine hadi sasa anajulikana kama mchumba na si mke. Je slaa itabid aoe kwanza ndo aingie madarakani?
 
Kuna sheria Tanzania inayolazimisha mkulu awe na mke? Kuna nchi nyingi tu zilizo na marais wasio na wake - Mfano Ufaransa...
 
Jaman naomba kuuliza kama inawezekana rais asiye na mke akaingia ikulu.
Nauliza hv kwa sababu vijana wapenda mageuzi tunataman dr. wetu Slaa aingie ikulu lakini ninavyojua mimi dr. ana mchumba tu josephine. Josephine hadi sasa anajulikana kama mchumba na si mke. Je slaa itabid aoe kwanza ndo aingie madarakani?

:mwaaah::mwaaah: Kwani akioa ndio atapata nguvu ya kuleta demokrasia?
 
Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mr. Benjamin William Mkapa hakuwa na mke.
Mwl Nyerere alilijua hilo pia. Kwa hiyo hilo la Dr. Slaa si geni hata kidogo. FUNGUKA NA UZI MWINGINE KAKA!!!!!!
 
Rais wa Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mr. Benjamin William Mkapa hakuwa na mke.
Mwl Nyerere alilijua hilo pia. Kwa hiyo hilo la Dr. Slaa si geni hata kidogo. FUNGUKA NA UZI MWINGINE KAKA!!!!!!


Mbona tunaongopeana? Mkapa alikuwa na mama Mkapa bwana. Mbona Mkapa alikuwa na watoto wakubwa tu kabla ya kuingia madaraka?
 
Mimi naona hicho kipengele hakina maana sana. Inawezekana kuna viongozi potential wanaoweza kuongoza nchi vizuri ila wakakosa hiyo fursa kutokana na kuwa hawajaoa ama kuolewa. Mfano mzuri, ni rais wa Botswana Leutenant General Seretse Khama Ian Khama. Huyu ni mmoja wa maraisi wazuri sana Africa na ameweza kuiongoza vizuri sana Botswana tangu 2008. Hajawahi kuoa na hana mke hadi sasa, ila ni mtendaji mzuri sana kwenye majukumu yake ya kuongoza nchi.
 
Kuna sheria Tanzania inayolazimisha mkulu awe na mke? Kuna nchi nyingi tu zilizo na marais wasio na wake - Mfano Ufaransa...
Sijui... Nakumbuka kuna hii habari ya Salim Ahmed Salim kutakiwa kuowa pale alipotakiwa kuwa balozi
 
Jaman naomba kuuliza kama inawezekana rais asiye na mke akaingia ikulu. Nauliza hv kwa sababu vijana wapenda mageuzi tunataman dr. wetu Slaa aingie ikulu lakini ninavyojua mimi dr. ana mchumba tu josephine. Josephine hadi sasa anajulikana kama mchumba na si mke. Je slaa itabid aoe kwanza ndo aingie madarakani?
kwa taarifa yako,ndoa za kidini,kimila ni decoration tuu..ndoa ya bomani ya kiserikali ndio sharti kuu la nchi.
 
zitto kabwe ana videmu kibao,bora mwenye mchumba coz ni advanced stage toward marriage,wenye videm watafanya ikulu sehemu ya kufanyia u-berlusconi
 
Kwetu hairuhusiwi ndiyo maana Mkapa aliambiwa arudiane na mama Anne, hata hivyo mwaka 2015 mgombea urais Chadema siyo Slaa ni Mbowe, naomba mnielewe kama hamamini sawa tusubiri tuone.
 
Angalia Katiba kama kuna kifunga kinachosema awe na mke au wake.
Jaman naomba kuuliza kama inawezekana rais asiye na mke akaingia ikulu.
Nauliza hv kwa sababu vijana wapenda mageuzi tunataman dr. wetu Slaa aingie ikulu lakini ninavyojua mimi dr. ana mchumba tu josephine. Josephine hadi sasa anajulikana kama mchumba na si mke. Je slaa itabid aoe kwanza ndo aingie madarakani?
 
Subiri kidogo naangalia makabrasha yangu ya maneno machafu kisha nakuja kutoa maoni yangu tafadhali usiondoke agiza juice ya pilipili bili kwangu
 
kuoa sio ishu, ni stress tu Ikulu! Unaona Obama anavyohangaika sasa!
 
Na kama mtu kazaliwa akiwa hawezi ku maintain erectile penis...hana haki ya kuwa rais?
 
Kwetu hairuhusiwi ndiyo maana Mkapa aliambiwa arudiane na mama Anne, hata hivyo mwaka 2015 mgombea urais Chadema siyo Slaa ni Mbowe, naomba mnielewe kama hamamini sawa tusubiri tuone.

Mbowe hawezi kugombea uraisi sababu katiba mpya itataka mgombea uraisi angalau aweze kuwa na degree sasa mbowe na form four yake ataenda wapi hata ubunge hataweza kwenda,kingine slaa nae hawezi kuwa mgombea sababu hana mke,labda mabele marando
 
Kwan katiba inakataza MTU kuwa raisi akiwa bachelor? mbona rais wa Botswana Hana mke
 
Nafikiri ni hatari zaidi kuwa na Raisi mzinzi, anaweza kuuza nchi.
 
Back
Top Bottom