Hivi Jaji Biswalo ana mamlaka ya kimaadili kutoa hukumu? Yaani na yeye huko aliko anafunga wezi na wanaotumia mamlaka vibaya?

Hivi Jaji Biswalo ana mamlaka ya kimaadili kutoa hukumu? Yaani na yeye huko aliko anafunga wezi na wanaotumia mamlaka vibaya?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
 
Siku zake zinahesabika tu, muda na wakati ukifika na yeye atahukumiwa sawa sawa na matendo yake!
Ikishindikana mayai viza, masalo ya nyanya mbovu, vinyesi na upupu hata uchawi vitahusika, ni muda tu subirini.
 
Siku zake zinahesabika tu, muda na wakati ukifika na yeye atahukumiwa sawa sawa na matendo yake!
Ikishindikana mayai viza, masalo ya nyanya mbovu, vinyesi na upupu hata uchawi vitahusika, ni muda tu subirini.
Dah...na uchawi
 
Huo ujaji hakuuokota tu barabarani hadi aliyempa hafai.
 
Kumbukeni ndege wafananao huruka pamoja. Birds of a feather fly together! Hawa hawakujuana barabarani! Biswalo hakujipa ujaji, alipewa. Hatukuitwa wadanganyika kwa bahati mbaya!
 
Huwa sielewi vizuri viongozi wenye mamlaka huwa wanatafasiri vipi maana ya "Ukosefu wa maadili" .
tuhuma za ukosefu wa maadili zinazo wakumba majaji /Jaji huwa zinatafasiri tofauti na wengine?!
kama hakuna tofauti basi kwa hili linalosemwa dhidi ya Jaji huyo linapswa lichukuliwe hatua mara moja, maana kama ni kulalamikiwa kwa ukosefu wa maadili kwa Jaji huyo ni tuhuma nzito na sio za kupuuzwa.
 
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
Huyo mjuba anapostahili kuwa ni jela tu
 
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
Hata mimi nashangaa, hii inawezekana kt nchi za kipumbafu kama hii, mwizi anapigiwa salute, mwizi anawahukumu wezi wenzake.
Pumbafu sana hii nchi
 
Huwa sielewi vizuri viongozi wenye mamlaka huwa wanatafasiri vipi maana ya "Ukosefu wa maadili" .
tuhuma za ukosefu wa maadili zinazo wakumba majaji /Jaji huwa zinatafasiri tofauti na wengine?!
kama hakuna tofauti basi kwa hili linalosemwa dhidi ya Jaji huyo linapswa lichukuliwe hatua mara moja, maana kama ni kulalamikiwa kwa ukosefu wa maadili kwa Jaji huyo ni tuhuma nzito na sio za kupuuzwa.
Kifupi.
....Wanatudharau sana
 
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
😅😅😅hata mimi najiuliza
 
Huwa sielewi vizuri viongozi wenye mamlaka huwa wanatafasiri vipi maana ya "Ukosefu wa maadili" .
tuhuma za ukosefu wa maadili zinazo wakumba majaji /Jaji huwa zinatafasiri tofauti na wengine?!
kama hakuna tofauti basi kwa hili linalosemwa dhidi ya Jaji huyo linapswa lichukuliwe hatua mara moja, maana kama ni kulalamikiwa kwa ukosefu wa maadili kwa Jaji huyo ni tuhuma nzito na sio za kupuuzwa.
Now on same lane.
 
Kumbukeni ndege wafananao huruka pamoja. Birds of a feather fly together! Hawa hawakujuana barabarani! Biswalo hakujipa ujaji, alipewa. Hatukuitwa wadanganyika kwa bahati mbaya!
May be
 
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
Kuna mwingine anaitwa Jaji Charles Kaijage alikuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi kwa uchaguzi aliosimamia 2020 napata shida kubwa sana kuelewa huo Ujaji wanaosomea una maana gani.
 
Sipati majibu.

Hivi kweli Sasa hivi ninapoandika hii post JF, Jaji Biswalo anaenda mahakamani, anapigiwa saluti, anasikiliza kesi za wezi, wanaotumia mamlaka vibaya, halafu anawafunga? Kweli kabisa? Mtu ambaye ametapakaa Kila aina ya tuhuma, anaenda kuwafunga watu ambao alitakiwa awe nao gerezani?

Huyu mtu aliyepeleka fedha zetu china? aliyebambikia watu kesi!? Watuhumiwa walio mbele yake how safe they are?! Wanaona haki mbele yao kweli?

Prof. Juma, hamna kitengo angalau awe desk officer hapo mahakamani? Maana this is mockery of justice!

Japokuwa si sawa, akawe hata Katibu Tawala wa Mkoa au Wilaya, vyovyote vile, lakini atoke mahakamani.
Anatoa maamuzi kwa mujibu wa Sheria na kanuni za kazi yake,na siyo matakwa yake.
 
Back
Top Bottom