Hivi jamani hili likikutokea utafanyaje?

Hivi jamani hili likikutokea utafanyaje?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
umetoka zako kazini, umeingia ndani umekuta laptop ya mkeo ipo on. unaona ngoja niingie JF one time. unaingia unakuta mkeo hajalog out hapo kweney JF kuangalia profile yake salaale ni NOTFOUND.
 
Utajua ndio mkeo alivyo!

The kind of a woman you married!
 
Unamaanisha nini unaposema NOT FOUND. Sijakuelewa kabisa.

umetoka zako kazini, umeingia ndani umekuta laptop ya mkeo ipo on. unaona ngoja niingie JF one time. unaingia unakuta mkeo hajalog out hapo kweney JF kuangalia profile yake salaale ni NOTFOUND.
 
ahh kwamba bado AJAPATIKANA?ajapata mwenza?
ukome umbea wako uliambiwa kuchungulia?
unamuuliza tu km vp uenda ana sababu za msing za yeye kuweka ivo...:madgrin:
 
kwamba ajapata mtu?
na wewe kwanini uchungulie kwa mkeo?
may b anasababu za kuandika ivo mwulize atakwambia lakin ukome kuchungulia chungulia...
 
Kama kawa atakuambia natania tuu sweetie!!!:becky:
 
Kumbe yule ni mkeo au unamtania tu!!! NOTFOUND ni mwana JF mwenzetu jamaani loh!!! wife
 
Hizi laptop nazo! wakati mwingine una log out kabisa ukifungua unakuta tena ID yako, mimi akiona hata shangaa huwa namsimulia ila hajawahi niuliza nahisi anaheshimu privacy ya yangu tu
 
Kwenye NOT FOUND hapo mmh!
Au tuseme ndio unakuta laptop ya Girlfriend/ MKE wako ndio yule mwenye I'd ya FAIZA FOXY hivi utafanyaje mkuu SAINT IVUGA na wengine?
 
Back
Top Bottom