Hivi jamani huu utumbo wa WIZARA YA AFYA hadi lini?

Young Kibaka

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2012
Posts
319
Reaction score
46
Jamani mie kwa upande wangu naonekana tapeli halafu mwongo kisa hii wizara. Matokeo ya watu hawatoi, wanasema yapo kwenye website, ukiangalia web, hakuna kitu kama hicho. Wanataka tuandamane?
 
mkuu uko wap? Nataka 2shauriane k2 hawa wanataka kutuletea mchezo.
 
Kweli kabsa,wanavyofanyia raia co fair. Hiyo web wanosema matokeo yapo ni ipi!? Watuambie.

JAMANI JAMANI NILIKUWA NAIOMBA WATENDE HAKI KWA WENYE VGEZO. NO CORRUPTION!
 
matokeo ya nurse certificate tayar saiv wanaingza diploma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…