msemakweli10
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 229
- 46
Jishughulishe muda wote kuwa bize,fanya mazoezi mawazo yatapungua yenyewe......................Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?
Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?
Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?
......yeah,
Tembelea wodi ya UKIMWI.
Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?
Dah weye jamaa na sredi zako mmh...
Angalia tu usijekufanya mambo ya aibu siku moja...
Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?
dah weye jamaa na sredi zako mmh...
Angalia tu usijekufanya mambo ya aibu siku moja...
Waungwana wasalaam. Nimekuwa nikisumbuliwa sana na matamanio ya kufanya mapenzi.
Kila ninapokaa muda haukati namuwaza tu girlfriend wangu. Na mawazo yangu yanaelekea kulekule kumtaka kimapenzi.
Mimi nataka hisia zipungue. Je, kuna anayefahamu dawa ya kupunguza hisia za mapenzi?