Hivi jamani mnawaona hawa warembo washiriki wa olympic?!!!

Hivi jamani mnawaona hawa warembo washiriki wa olympic?!!!

mjenziwakale

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
954
Reaction score
1,469
Aisee kwa kweli hawa watoto ni warembo mnooo karibia kila mchezo hakuna ngongozo hata mmoja zote ni maliasili, wote wabichi kabisaa halafu tunajua kujieleza very smart yaani. Hapa ni lazima niende Paris France kwa hizi siku zilizosalia.
 
Umejisikia tu kufungua uzi! Kila siku nafatilia wazuri na half to half mpaka jana nikamuuliza Vincenzo Jr mbona ni ngumu kuwatofautisha yupi ni mwanaume yupi ni mwanamke wengi hawana matiti halafu unaambiwa ni mwanamke mwingine ana matiti unaambiwa ni mwanaume
ee na ndio dhumuni la kuja na mashindano hayo kama hujui
 
Umejisikia tu kufungua uzi! Kila siku nafatilia wazuri na half to half mpaka jana nikamuuliza Vincenzo Jr mbona ni ngumu kuwatofautisha yupi ni mwanaume yupi ni mwanamke wengi hawana matiti halafu unaambiwa ni mwanamke mwingine ana matiti unaambiwa ni mwanaume
Zile ndio type zangu ,napenda wanawake wanaofanya mazoezi huwa wanajua kazi kitandani

USSR
 
Back
Top Bottom