mjenziwakale
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 954
- 1,469
Anatupotezea Muda Bila PicturePicha ziko wapi
For real,. Maelezo na ushahidiAnatupotezea Muda Bila Picture
ZBC wanaonyesha tena liveUnadhan wote tuna dstv?
Ngoja aka Google akulete madamPicha ziko wapi
Sawa,. TunasubiriNgoja aka Google akulete madam
duh kumbe! Mpaka usiku wanaonesha? Kama ni mchana tu hiyo yawengine!ZBC wanaonyesha tena live
Mrembo sana mnoooHivi Simone Biles naye ni mrembo?
USSR
Zbc2 buree kabisaaaaUnadhan wote tuna dstv?
Ofukozi sijakaa kirahisirahisi hvo nitawapata walau wawiliUnadhani unaweza kuwapata kirahisi tu?
ee na ndio dhumuni la kuja na mashindano hayo kama hujuiUmejisikia tu kufungua uzi! Kila siku nafatilia wazuri na half to half mpaka jana nikamuuliza Vincenzo Jr mbona ni ngumu kuwatofautisha yupi ni mwanaume yupi ni mwanamke wengi hawana matiti halafu unaambiwa ni mwanamke mwingine ana matiti unaambiwa ni mwanaume
Hii ni kwa wale wafuatiliaji wa Olympic mkuu wetuAnatupotezea Muda Bila Picture
Zile ndio type zangu ,napenda wanawake wanaofanya mazoezi huwa wanajua kazi kitandaniUmejisikia tu kufungua uzi! Kila siku nafatilia wazuri na half to half mpaka jana nikamuuliza Vincenzo Jr mbona ni ngumu kuwatofautisha yupi ni mwanaume yupi ni mwanamke wengi hawana matiti halafu unaambiwa ni mwanamke mwingine ana matiti unaambiwa ni mwanaume
hiyo ni mchana tu ama mpaka usiku.Zbc2 buree kabisaaaa
Hadi saa sita usiku kwa saa za EAThiyo ni mchana tu ama mpaka usiku.
Hamna tv majumbani mwenu hata za vichogoAnatupotezea Muda Bila Picture