ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi naamini humu ndani wote tumewahi kukutana na vibunda kwenye ma deal yetu makubwa yaani namaanisha mzigo wa maana milioni kwenda mbele kwa mara moja paap.
Maana humu Wengi Ni wafanyakazi Wenye mishahara minene na wengine ni wafanyabiashara wa Kati na na Tena Wengi tumesoma Soma Chuo Kikuu tuna laptop za gharama au iPhone na Wengi tu Wana magari.
Siamini Kama Kuna member fukara kabisa ambaye anakosa hata laki tatu ya haraka haraka Hapo alipo.sasa Nina ishu nataka niwashirikishe wale ambao mpo serious tuanzishe group maalumu na Tena maxence melo awe ndo mweka hazina wetu kila week tunachanga 7000 baada ya mwaka tutakuwa na hela nyingi Sana kisha tunaenda kwenye soko la hisa au tunafungua fixed account tunawekeza pale hela yetu baada ya miaka mitano tutachukua hela yetu tunagawana.tuko Wengi wenye uwezo naamini hata billion 1 tukichanga zinafika.
Imagine ukachangia kila week 7000 baada ya mwaka utakuwa umechangia zaidi ya million tatu haya assume members kwenye Hilo kikundi tuko 10000 jumla itakuwa billion 30 haya tukapeleka fixed account baada ya miaka mitano interest ikazaa billion 50 haya wengine wakafa hata members 3000 tukabakia 7000 tukija kugawana hip hela kila mtu anaondoka na milioni Zaidi ya 100
Maana humu Wengi Ni wafanyakazi Wenye mishahara minene na wengine ni wafanyabiashara wa Kati na na Tena Wengi tumesoma Soma Chuo Kikuu tuna laptop za gharama au iPhone na Wengi tu Wana magari.
Siamini Kama Kuna member fukara kabisa ambaye anakosa hata laki tatu ya haraka haraka Hapo alipo.sasa Nina ishu nataka niwashirikishe wale ambao mpo serious tuanzishe group maalumu na Tena maxence melo awe ndo mweka hazina wetu kila week tunachanga 7000 baada ya mwaka tutakuwa na hela nyingi Sana kisha tunaenda kwenye soko la hisa au tunafungua fixed account tunawekeza pale hela yetu baada ya miaka mitano tutachukua hela yetu tunagawana.tuko Wengi wenye uwezo naamini hata billion 1 tukichanga zinafika.
Imagine ukachangia kila week 7000 baada ya mwaka utakuwa umechangia zaidi ya million tatu haya assume members kwenye Hilo kikundi tuko 10000 jumla itakuwa billion 30 haya tukapeleka fixed account baada ya miaka mitano interest ikazaa billion 50 haya wengine wakafa hata members 3000 tukabakia 7000 tukija kugawana hip hela kila mtu anaondoka na milioni Zaidi ya 100