G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,795
- 36,704
Nakumbuka Sitta aliipata mwaka 2010 kutoka kwa Slaa kutokana na ujenzi wa hili jengo.
Aidha, nakumbuka siku Kikwete analizindua alipokuwa Rais aliguna kisha akasema "Sasa kila mtu akijijengea hivi kutakalika kweli"
Nani analitumia sasa? Maana ni jengo la hadhi ya Spika lililojengwa kwa kodi zetu Tshs milioni 500! Slaa alipiga kelele sana, natamani nimsikie kwenye uwanja wa Chato na daraja la Kigongo Busisi ambavyo ni machaka y ufisadi ya John Magufuli.
Marehemu Sitta naye alijipambanua kuwa ni mzalendo kama alivyo John Magufuli, tofauti yao ni kuwa mmoja ni dikteta huku mwingine aliruhusu uhuru kwenye mhimili aliokuwa anaongoza!
Ila wote wanajisifu kwa uzalendo na kupinga ufisadi!
Aidha, nakumbuka siku Kikwete analizindua alipokuwa Rais aliguna kisha akasema "Sasa kila mtu akijijengea hivi kutakalika kweli"
Nani analitumia sasa? Maana ni jengo la hadhi ya Spika lililojengwa kwa kodi zetu Tshs milioni 500! Slaa alipiga kelele sana, natamani nimsikie kwenye uwanja wa Chato na daraja la Kigongo Busisi ambavyo ni machaka y ufisadi ya John Magufuli.
Marehemu Sitta naye alijipambanua kuwa ni mzalendo kama alivyo John Magufuli, tofauti yao ni kuwa mmoja ni dikteta huku mwingine aliruhusu uhuru kwenye mhimili aliokuwa anaongoza!
Ila wote wanajisifu kwa uzalendo na kupinga ufisadi!