mbona umeanza kujistukia mkuu,we ni gamba? Livue kwanza kama bado kaka...
"Maoni ya pamoja" ni tofauti na spirit ya uhuru wa maoni.
Tuko watu tofauti sana kuweza kuwa na "maoni ya pamoja".
Nafahamu our differences, but yet as Tanzanians, we can have common ideas on what we ought our country to be in the near future. THis is only possible if we have common ideas for common good. Tofauti zetu hazituzuii sisi kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya. Tukiweka itikadi za vyama vyetu vya siasa kando, tunaweza kuwa na maoni ya pamoja juu ya katiba mpya as GREAT THINKERS.
Si wazo baya kwamba WanaJF wakusanye mapendekezo ya nini kinachostahili kuwemo kwenye katiba mpya toka kwa wadau mbali mbali kisha mapendekezo hayo kuwakilishwa katika hiyo tume ya kukusanya maoni. Tunaweza kusema mapendekezo hayo yakusanywe kwa muda wa miezi miwili/mitatu.