Hivi Jina lake ni Akwilina au Aquiline?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Na ni jina la Kiafrika au Kizungu? Kwa maana nijuavyo mimi Majina yetu yote ya Kitanzania hayana herufi ,,Q na X” sasa ninyi hiyo ,,q” kwenye jina lake inatokea wapi kama ni Jina la Kiafrika?

Au ndo mambo ya kumrahisishia Muzungu kutamka?
Mambo ya ,,jambo” badala ya hujambo?
 
Usitukumbushie machungu
 
Hilo ndo umeona la msingi kuzungumzia ewe FISI M?
 
Mleta mada anaanza kuweweseka, Nadhani akiwa usingizini jina linasikika masikioni mwake! Damu ni nzito kuliko maji! Mkatubu
 
Umekosa kitu cha kupost?
 
Haya sasa Umeanza kulala mchongoma ...damu ya mtu aiendi hivi hivi....nenda utubu awo akina Sangoma wanakudanganya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…