Hivi Jino moja la Tembo ni shingapi?

Polite

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2011
Posts
1,095
Reaction score
816
wakuu naomba mnipe bei manake naona wachina wanatupiga bao kwenye nchi yetu.hii n fursa sio ya wachina tu
 
Katika documentary moja ya BBC, ilidaiwa kwamba jozi moja ya meno inanunuliwa kati ya dola 3000 mpaka 5000 kutoka kwa wauzaji/majangili wa nchini. Jozi hiyo ikisafirishwa na kufika China inauzwa kwa dola 25,000.
 
Vipi unalo tufanye dili faster? NiPM maana hapa akina Kinana Wako wengi
 
Katika documentary moja ya BBC, ilidaiwa kwamba jozi moja ya meno inanunuliwa kati ya dola 3000 mpaka 5000 kutoka kwa wauzaji/majangili wa nchini. Jozi hiyo ikisafirishwa na kufika China inauzwa kwa dola 25,000.

Dah! No wonder tembo wanateketezwa katika mbuga na hifadhi zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…