Nimemsikilza Joh Makini katka interviews zake mara nying. Ni zaidi ya mara 3 anatamka kuwa Producers wakubwa huko USA wanampgia simu wanataka kufanya kazi na yeye baada ya kusikiliza nyimbo zake na mashairi makavu (akapela).
Niliwah kumsikia aktamka hayo radio clouds, East Africa radio akimwambia Sam Misago na juzi tena Radio Triple A ya Jijini Arusha.
Mi sijamuelewa vizuri na nafkri ni kwa sababu cjapata nafas kumuuliza. Je produces anaowasema ni akina Dr. Dre, Timberland, The Run, Polow Da Don, J Cole, Kanye West, Manie Fresh na wengne? Au anamaanisha akina nani?
Wakuu tusaidiane hapa