Hivi Juma Mgunda alichukuliwa kama kocha au Mganga wa timu?

Hivi Juma Mgunda alichukuliwa kama kocha au Mganga wa timu?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Katika hali ya kawaida , jambo lililotokea kwenye timu yetu ya Simba, si rahisi kusema kwamba limetokea kwa bahati mbaya. Sisi wengine tukiangalia uwezo na elimu kubwa waliyonayo viongozi wa Simba, akiwemo mtendaji mkuu tunaona hili jambo lilikuwa mpango maalum.

Kutokana na kufahamika kwa elimu ya Juma Mgunda hatuamini kama kuletwa kwake Simba ilikuwa bahati mbaya, bali tunaamini aliletwa kutokana labda na masuala mengine ya kimila, huenda alikuja kuwa "mtaalam" wa Timu.

#SIMBA NGUVU MOJA
 
Juma mgunda kweli ni mtu wa kuaminiwa kuipenyeza timu past malawians?kama kweli KMC kawa mfupa ulio mshinda fisi je huko CAF si kutakuwa mifupa ya sokwe.

SSC tafadhalini nyie watu, kingeke hakiaminiki katika soka! uwezo mlio nao ni wa kumleta morinho,Diego Simeone na Hugo sances, vipi leo mshindwe?
 
Katika hali ya kawaida , jambo lililotokea kwenye timu yetu ya Simba , si rahisi kusema kwamba limetokea kwa bahati mbaya , sisi wengine tukiangalia uwezo na elimu kubwa waliyonayo viongozi wa Simba , akiwemo mtendaji mkuu tunaona hili jambo lilikuwa mpango maalum .

Kutokana na kufahamika kwa elimu ya Juma Mgunda hatuamini kama kuletwa kwake Simba ilikuwa bahati mbaya , Bali tunaamini aliletwa kutokana labda na masuala mengine ya kimila , huenda alikuja kuwa "mtaalam" wa Timu .

#SIMBA NGUVU MOJA
Hili kweli linafikirisha Sana. Yaani Mtu mzoefu wa magari unamiliki Suzuki, inaharibika unanunua Spare ya Subaru?
 
Katika hali ya kawaida , jambo lililotokea kwenye timu yetu ya Simba , si rahisi kusema kwamba limetokea kwa bahati mbaya , sisi wengine tukiangalia uwezo na elimu kubwa waliyonayo viongozi wa Simba , akiwemo mtendaji mkuu tunaona hili jambo lilikuwa mpango maalum .

Kutokana na kufahamika kwa elimu ya Juma Mgunda hatuamini kama kuletwa kwake Simba ilikuwa bahati mbaya , Bali tunaamini aliletwa kutokana labda na masuala mengine ya kimila , huenda alikuja kuwa "mtaalam" wa Timu .

#SIMBA NGUVU MOJA
Acha zarau baby unazani kuwa kocha Ni mpka uwe na elimu kubwa PhD au hzo degree a saut hpn mgunda Ana sifa wee huna unachojuwa Ni kuandiak utopolo hapa jamvini

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli Mgunda alienda Simba kama mganga wa jadi, na experience aliyonayo ni kuisumbua Yanga. Hata final ya ASFC alisumbua sana
 
Katika makocha hapa Tz ni bingwa katika kutumia kutumia nguvu za jadi basi Mgunda anaongoza. Naona kaenda kwa makolo kuchukua nafasi ya Somo aliefariki siku ya mechi ya ngao ya jamii
 
Back
Top Bottom