Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Inawezekana maana tanga ndio mambo yaoHii ni kali kuliko !
Ila waliamua tu kuficha siri kwanzaInawezekana maana tanga ndio mambo yao
Si kweli , umeandika uongoukishakua simba automatically wewe ni Mbumbumbu...
Hili kweli linafikirisha Sana. Yaani Mtu mzoefu wa magari unamiliki Suzuki, inaharibika unanunua Spare ya Subaru?Katika hali ya kawaida , jambo lililotokea kwenye timu yetu ya Simba , si rahisi kusema kwamba limetokea kwa bahati mbaya , sisi wengine tukiangalia uwezo na elimu kubwa waliyonayo viongozi wa Simba , akiwemo mtendaji mkuu tunaona hili jambo lilikuwa mpango maalum .
Kutokana na kufahamika kwa elimu ya Juma Mgunda hatuamini kama kuletwa kwake Simba ilikuwa bahati mbaya , Bali tunaamini aliletwa kutokana labda na masuala mengine ya kimila , huenda alikuja kuwa "mtaalam" wa Timu .
#SIMBA NGUVU MOJA
Acha zarau baby unazani kuwa kocha Ni mpka uwe na elimu kubwa PhD au hzo degree a saut hpn mgunda Ana sifa wee huna unachojuwa Ni kuandiak utopolo hapa jamviniKatika hali ya kawaida , jambo lililotokea kwenye timu yetu ya Simba , si rahisi kusema kwamba limetokea kwa bahati mbaya , sisi wengine tukiangalia uwezo na elimu kubwa waliyonayo viongozi wa Simba , akiwemo mtendaji mkuu tunaona hili jambo lilikuwa mpango maalum .
Kutokana na kufahamika kwa elimu ya Juma Mgunda hatuamini kama kuletwa kwake Simba ilikuwa bahati mbaya , Bali tunaamini aliletwa kutokana labda na masuala mengine ya kimila , huenda alikuja kuwa "mtaalam" wa Timu .
#SIMBA NGUVU MOJA