@ HumphnickyM - MH. I DONT THINK SO. KWANI REDIO NI MOJA TU!?Mi nimesikia siku kaingia katika biashara ya bangi na bifu na wasanii. Ila hii ya bangi ndo inamyokea!!
@ HumphnickyM - MH. I DONT THINK SO. KWANI REDIO NI MOJA TU!?Mi nimesikia siku kaingia katika biashara ya bangi na bifu na wasanii. Ila hii ya bangi ndo inamyokea!!
huyo mtu hata akibaniwa nyimbo ila akipanda jukwaani lazma akimbize hata kwa ngoma zake za kitambo!msanii akihisi ameridhika na kupendwa athubutu kumdiss nature ndo atajua jinsi jamaa ana mashabiki watiifu ambao daima wapo nyuma yake hata kama hajatoa ngoma mpya!