Exile
JF-Expert Member
- Feb 21, 2021
- 1,477
- 3,642
Katika kero ukiachana na tanesco basi hi hawa Nida, asilima kubwa wananchi hawana vitambulisho wala namba
Na sijajua mkurugenzi wa nida ni nani na sijawahi sikia katumbuliwa au kutenguliwa hii ni changamoto sana mimi nimejaribu mara kadhaa tangu mwaka jana lakini sijafanikiwa na jana saa 11 asubuhi hadi saa 12 jioni nimepanga foleni sijajiandikisha leo nimewahi saa kumi asubuhi nakutana na foleni imenibidi nitoke tu nikatafute ugali.
Changaomoto iliyopo ni wahudumu wachache kuliko wananchi sasa serikali inatwambia kila mtu awe na nida na asitumie laini yenye taarifa za mtu mwingine je hili suala nani ataliweza?
Na sijajua mkurugenzi wa nida ni nani na sijawahi sikia katumbuliwa au kutenguliwa hii ni changamoto sana mimi nimejaribu mara kadhaa tangu mwaka jana lakini sijafanikiwa na jana saa 11 asubuhi hadi saa 12 jioni nimepanga foleni sijajiandikisha leo nimewahi saa kumi asubuhi nakutana na foleni imenibidi nitoke tu nikatafute ugali.
Changaomoto iliyopo ni wahudumu wachache kuliko wananchi sasa serikali inatwambia kila mtu awe na nida na asitumie laini yenye taarifa za mtu mwingine je hili suala nani ataliweza?