Hivi kama ulipeperusha bendera ya hesbu na we unaweza kujiita critical thinker? Aaaaa bwana tusitaniane!!¡

Hivi kama ulipeperusha bendera ya hesbu na we unaweza kujiita critical thinker? Aaaaa bwana tusitaniane!!¡

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Hesabu ndo inafunza kufikiri sawasawa. Wale wote wanaofaulu hesabu vizuri lazima akili iwe smart sana. Sasa kuna wale waliosoma history, kiswahili etc eti nao wanajiita critical thinkers wakati waliowengi walipeperusha bendera ya hesabu
 
Hesabu ndo inafunza kufikiri sawasawa. Wale wote wanaofaulu hesabu vizuri lazima akili iwe smart sana. Sasa kuna wale waliosoma history, kiswahili etc eti nao wanajiita critical thinkers wakati waliowengi walipeperusha bendera ya hesabu
Mimi ni mmoja wa wataalamu wa Hisabati kwa ngazi za juu.
Sina hakika kama sisi ni more critical thinkers than others.
Kuna critical thinkers wazuri ambao hawajawahi hata kwenda shule.
 
Nna washikaji kibao tu nawajua walikuwa vichwa vya hesabu saiv wkao mtaani ni mafala tu.
Hakuna uhusiano wa elimu na Critical thinking.
Hao kina nape, makamba etc mbona wanatusua sana tu kimaisha na hawajui hesabu?
Hao kina diamond mbona wanatusua tu na form four zao?
Vii kina baba level na mwijaku wamesoma hesabu ipi?
 
Nna washikaji kibao tu nawajua walikuwa vichwa vya hesabu saiv wkao mtaani ni mafala tu.
Hakuna uhusiano wa elimu na Critical thinking.
Hao kina nape, makamba etc mbona wanatusua sana tu kimaisha na hawajui hesabu?
Hao kina diamond mbona wanatusua tu na form four zao?
Vii kina baba level na mwijaku wamesoma hesabu ipi?
Sizungumzii kutusua. Nazungumzia critical thinking au rational thinking. Unaweza kutusua kwa kuloga au kuua watu
 
Hesabu na kuwa critical thinkers havina mahusiano yoyote .

Kuwa critical thinkers ni kuwa na uwezo mzuri Sana wa kureason mambo na kuyaingiza Katika vitendo.

So hoja yako ni dhaifu sana mkuu.
 
Ukiona MTU amefanikiwa kukuzidi ujue amekuzidi Akili pamoja na maarifa
Siyo kweli. Kuna wezi pia ndo mana wanakufa mapema. Ukiona umekufa mapema maama yake hukuwa na akiki ulikuwa unalazimisha kuwa nazo tu
 
Kuna ndugu yangu kasoma HKL kamaliza chuo 2018 sheria Ila muda huu pesa zinatiririka Kama maji bombani

Juzi hapa familia yake Mama yake ndugu zake kaitoa Bukoba hadi Zanzibar ulikuwa mchezo wa kula na kunywa .


Pia mwingine ndugu yangu kapiga PCM na Ana 'A' ya hesabu form four Ila hesabu za maisha zinagoma .


Critical thinking -haina uhusiano na hesabu
 
Kuna ndugu yangu kasoma HKL kamaliza chuo 2018 sheria Ila muda huu pesa zinatiririka Kama maji bombani

Juzi hapa familia yake Mama yake ndugu zake kaitoa Bukoba hadi Zanzibar ulikuwa mchezo wa kula na kunywa .


Pia mwingine ndugu yangu kapiga PCM na Ana 'A' ya hesabu form four Ila hesabu za maisha zinagoma .


Critical thinking -haina uhusiano na hesabu
Hao wa hivyo ndugu yangu huwa wanawahi kufa mapema mana hawana base ya pesa ila ngekewa tu
 
Siyo kweli. Kuna wezi pia ndo mana wanakufa mapema. Ukiona umekufa mapema maama yake hukuwa na akiki ulikuwa unalazimisha kuwa nazo tu

Watu hawajasoma na wana Hiyo critical thinking ndo maana wanafanikiwa habari za kuua na kuuza madawa zipo Ila ujue aliyekuzidi kuna point kakuacha kubali tu.

Na maisha hayatambui vyeti ,dini wala sura
 
Hao wa hivyo ndugu yangu huwa wanawahi kufa mapema mana hawana base ya pesa ila ngekewa tu

Sasa MTU akifa akiwa ameacha mchango chanya atakuwa Kama wewe ambaye unaishi bila kufanya jambo lolote la maaana ?

Ruge amekufa Ana 49 yrs Ila kaacha legacy familia yake itatumia sasa wewe unawaza kuishi miaka mingi bila impact?
 
Hesabu ndo inafunza kufikiri sawasawa. Wale wote wanaofaulu hesabu vizuri lazima akili iwe smart sana. Sasa kuna wale waliosoma history, kiswahili etc eti nao wanajiita critical thinkers wakati waliowengi walipeperusha bendera ya hesabu
Nilitaka nikuulize umri wako na upo darasa la ngapi,nikaona ni vema nitulie tu.Sijakuuliza na wala usijibu kitu.
 
Hesabu ndo inafunza kufikiri sawasawa. Wale wote wanaofaulu hesabu vizuri lazima akili iwe smart sana. Sasa kuna wale waliosoma history, kiswahili etc eti nao wanajiita critical thinkers wakati waliowengi walipeperusha bendera ya hesabu
Kuna mdogo wangu ni mjinga, yaani ukimzingua anakuzingua. Ila kwenye hesabu alikuwa anafaulu kuliko masomo yote. Hata kuandika vizuri hadi leo hajui. Anaandika apana badala ya hapana, xaxa badala ya sasa
 
Back
Top Bottom