Abbasfarudume
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,625
- 1,326
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Upo njiani unapita huna hili wala lile, unakuja kujistukia kuna kakupiga bonge la kofi la usoni, ile unakaa sawa hili ukimbie, anakupiga bonge la mtama kimo cha mbuzi, baadae yule yule jamaa aliekufanyia hivyo anakuja kukuomba msamaha, *eti samahani nilikuwa nimekufananisha na mtu ninaemdai pesa zangu siku nyingi umefanana nae *kama ww utamfanyaje mtu kama huyo..!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Lazima Pachimbike.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kukupiga akupige na hela umpe Heeee!!!Ntamuuliza alikuwa anamdai jamaa shingapi akiniambia nachomoa hela namlipa mchezo umeisha uwa sitakagi ujinga
[emoji3] [emoji106]hatr
Yah uwa sipendagi ujinga[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kukupiga akupige na hela umpe Heeee!!!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]hahahah namuangalia kwanza je ni saizi yangu auu maana u aweza kuta ni mtemi zaidi yako ukachezea tena kipigo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] khaaa!!Mimi hata kama nimemkosea mtu hawezi kunipiga nikakaa kimya bila ku-respond...
Sasa kwa mtu aliekosea akanipiga bila kosa pata picha what will happen..
Hata awe na mwili mkubwa kama nyumba hio siku itakuwa ni vita ya tatu ya dunia[emoji75]