Hivi Kamati iliyomuadhibu yule Mpuuzi wa Mashujaa FC ina Akili sawa sawa Kichwani?

Hivi Kamati iliyomuadhibu yule Mpuuzi wa Mashujaa FC ina Akili sawa sawa Kichwani?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilitegemea atahukumiwa ama Kifungo cha Miaka 15 au hata Maisha na Faini ya Shilingi Milioni Kumi ( 10 ) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi Wenzake wengine cha Kushangaza kafungiwa Mwaka Mmoja tu na Faini isiyouma.

Huenda ndiyo maana GENTAMYCINE sijawa na kamwe sitokuja kuwa Hakimu ila kwa ninavyojijua na nisivyopenda Upuuzi hasa Uonevu, Dhuluma na Uwongo ningekuwa Hakimu huenda 85% ya ambao wangekuwa Gerezani wangetokana na Maamuzi yangu ya Hukumu.

Tafadhali naomba nitajiwe Majina ya wana Kamati iliyompa huyu Mpuuzi wa Mashujaa FC Adhabu hii nyepesi na ya Huruma mno ili niwashtakie kwa Mwenyezi Mungu.

Hivi ile 'Ngumi Vizia' ya huyu Mpuuzi Kocha wa Makipa wa Mashujaa FC ingemuua Yule Kocha Mkuu wa Mbeya City FC Mubiru kutokana na Mshtuko bado tu nyie Wapuuzi wa hii Kamati iliyomuhukumu Kiduchu hivi mngemfungia huu mwaka Mmoja?

Mmenikera mno.
 
.
IMG-20230628-WA0001.jpg
 
Nilitegemea atahukumiwa ama Kifungo cha Miaka 15 au hata Maisha na Faini ya Shilingi Milioni Kumi ( 10 ) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi Wenzake wengine cha Kushangaza kafungiwa Mwaka Mmoja tu na Faini isiyouma.



Mmenikera mno.
Tutawaombea dua mbaya hao mashujaa ndani ya mwaka huo huo mmoja washuke daraja
 
Tena ki kanuni hakupaswa aadhibiwe mwaka mzima.
Kanuni ingefatwa vizur angefungiwa miez6 tu na faini ya M2 tu.

Cha kukisemea ni kuzitazama Sheria upya na kufanya marwkebisho na hukumu upya Ili zitumike katika sakata za aina hii.

Kisheria hawajakosea chochote.
 
Nilitegemea atahukumiwa ama Kifungo cha Miaka 15 au hata Maisha na Faini ya Shilingi Milioni Kumi ( 10 ) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi Wenzake wengine cha Kushangaza kafungiwa Mwaka Mmoja tu na Faini isiyouma.



Mmenikera mno.
ukiangalia vizuri tukia zima toka mwanzo ni kuwa kocha wa Mbeya city ndio alianza kumpiga teke kocha wa makipa wa mashujaa wakati wanapita mala ya kwanza akadondoka ila kamisaa akaingilia kati,so wakati wanarudi ndio jamaa akamvizia na ile ngumi.
 
Huyu Mubiru ndio alianza..je na yeye pamoja na kufanya kosa/ kumpiga mtama kocha wa makipa wa Mashujaa mbele ya muamuzi wa akiba lakini ameachwa..angalia hii video halafu uje tena kutoa maoni yako.

Nilitegemea atahukumiwa ama Kifungo cha Miaka 15 au hata Maisha na Faini ya Shilingi Milioni Kumi ( 10 ) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi Wenzake wengine cha Kushangaza kafungiwa Mwaka Mmoja tu na Faini isiyouma.

Huenda ndiyo maana GENTAMYCINE sijawa na kamwe sitokuja kuwa Hakimu ila kwa ninavyojijua na nisivyopenda Upuuzi hasa Uonevu, Dhuluma na Uwongo ningekuwa Hakimu huenda 85% ya ambao wangekuwa Gerezani wangetokana na Maamuzi yangu ya Hukumu.

Tafadhali naomba nitajiwe Majina ya wana Kamati iliyompa huyu Mpuuzi wa Mashujaa FC Adhabu hii nyepesi na ya Huruma mno ili niwashtakie kwa Mwenyezi Mungu.

Hivi ile 'Ngumi Vizia' ya huyu Mpuuzi Kocha wa Makipa wa Mashujaa FC ingemuua Yule Kocha Mkuu wa Mbeya City FC Mubiru kutokana na Mshtuko bado tu nyie Wapuuzi wa hii Kamati iliyomuhukumu Kiduchu hivi mngemfungia huu mwaka Mmoja?

Mmenikera mno.
 
Back
Top Bottom