fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Jamaa wanaongozwaga na emotional mbaya sana. Kina Lema na viongozi wake walianzishaga hii kampeni, cha ajabu haijulikani iliishiaga wapi.
CHADEMA kuna umber la viongozi sanaaaa,ni kama kichaka chaajizi, manyang'anyi,watu wa visasi, CHUKI, hilba na kukata Tamaaa Sanaa.
CHADEMA wanahitaji maombi,mapepo machafu yamewatawala mpaka leo na naona yamegoma kutoka.
Wana CHUKI ilokomaa huku wakisemwa wanakana kia si chama ni madini binafsi,lakini Safi nzima ya viongozi wanaendeshaga kampeni za ukabila, CHUKI, kuchochea uvunjwaji wa haki za binadamu (Rejea misemo wao wa kusagia kunguni, Mama kama itakupendeza, unaupiga mwingi) kasoro wachache ndo wanajificha fichwa, wanahubiri ama I huku wameficha mabomu miongoni mwao.
Sasa hivi wanazusha zusha tu na kugeuza page zao kua za udaku.
CHADEMA kuna umber la viongozi sanaaaa,ni kama kichaka chaajizi, manyang'anyi,watu wa visasi, CHUKI, hilba na kukata Tamaaa Sanaa.
CHADEMA wanahitaji maombi,mapepo machafu yamewatawala mpaka leo na naona yamegoma kutoka.
Wana CHUKI ilokomaa huku wakisemwa wanakana kia si chama ni madini binafsi,lakini Safi nzima ya viongozi wanaendeshaga kampeni za ukabila, CHUKI, kuchochea uvunjwaji wa haki za binadamu (Rejea misemo wao wa kusagia kunguni, Mama kama itakupendeza, unaupiga mwingi) kasoro wachache ndo wanajificha fichwa, wanahubiri ama I huku wameficha mabomu miongoni mwao.
Sasa hivi wanazusha zusha tu na kugeuza page zao kua za udaku.