Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Waislam watakujibu
Mimi najua maana ya KARMA SUTRA karma likiwa pekee sijui
Thats it.
Mimi najua maana ya KARMA SUTRA karma likiwa pekee sijui
Kumbe kweli nguruwe wamekuwa dili,waslam mnakuja kuiba bandani tena?Shemeji jiandae tunakuja kuvunja banda lako la ngurue.
Afadhali umelielewesha hili Pu.mbavu!
ktk jamii ficha upumbavu wako mpaka unapoingia malangoni mwako hata kama mtu kakukosea usijibu kwa kutukana nahii ndiyo dini(njia)iliyo bora. kumbuka kilaneno utalitolea hesabu
Mkuu, msemo ni KARMA IS A BITCH!karma is not a bitch! huwa nakasiaga aka kamsemo
Wale waleee!
Kwa iyo wewe umeona nilichoandika mimi ndico kibaya! Si ndio?
Thats it.
Mkuu, msemo ni KARMA IS A BITCH!
maana ya neno KARMA ni sawa na msemo wa kiswahili "UTAVUNA ULICHOPANDA" kiwe jema au baya....
na asili yake ni Hinduism na Buddhism na sio Kiislamu.
"WHAT GOES AROUND COMES BACK AROUND😛layball:"