Pre GE2025 Hivi kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA ni chama gani kinakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi Tanzania kwa sasa?

Pre GE2025 Hivi kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA ni chama gani kinakubalika na kuaminika zaidi kwa wananchi Tanzania kwa sasa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji, ni chama gani kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA, unadhani kinaweza kuibuka kidedea kwenye mitaa na vijiji vingi zaidi ya kingine hiyo November 27.2024?

Na je, hicho kinaweza kutumika kama kipimo cha kukubalika kwao kisiasa na wastani wa kiasi cha kura watakachoambulia kuelekea uchaguzi mkuu ujao 2025, wa Rais, wabunge na madiwani? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji, ni chama gani kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA, unadhani kinaweza kuibuka kidedea kwenye mitaa na vijiji vingi zaidi ya kingine hiyo November 27.2024?

Na je, hicho kinaweza kutumika kama kipimo cha kukubalika kwao kisiasa na wastani wa kiasi cha kura watakachoambulia kuelekea uchaguzi mkuu ujao 2025, wa Rais, wabunge na madiwani? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Hivi wewe unataka kulinganisha Chadema na ACT wazalendo?

Chadema ndiyo tegemeo pekee Kwa wanyonge wa nchi hii, wanaokandamizwa na huu mfumo wa CCM

Tofauti yao ni kubwa sana, kama vile umbali wa kutoka hapa Duniani Hadi Kwenye sayari ya Mars!😀
 
Hivi wewe unataka kulinganisha Chadema na ACT wazalendo?

Chadema ndiyo tegemeo pekee Kwa wanyonge wa nchi hii, wanaokandamizwa na CCM

Tofauti yao ni kubwa sana, kama vile umbali wa kutoka hapa Duniani Hadi Kwenye sayari ya Mars!😀
si ndiyo siasa gentleman?🐒

ni muhimu tutumie uchaguzi huu wa serikali za mitaa na vijiji kupima huo umbali unaona usema, right ?

ama tutumie tu maneno na visingizio vya kila siku?🐒
 
Hivi wewe unataka kulinganisha Chadema na ACT wazalendo?

Chadema ndiyo tegemeo pekee Kwa wanyonge wa nchi hii, wanaokandamizwa na huu mfumo wa CCM

Tofauti yao ni kubwa sana, kama vile umbali wa kutoka hapa Duniani Hadi Kwenye sayari ya Mars!😀
Mwanzo ilikuwa NCCR mageuzi ya Mrema, baadae ikawa CUF ya Lipumba, halafu imekuwa chadema ya Mbowe, amini usiamini baada ya uchaguzi wa mwakani ACT WAZALENDO ndio kitakuwa Chama kikuu Cha upinzani TZ.
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji, ni chama gani kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA, unadhani kinaweza kuibuka kidedea kwenye mitaa na vijiji vingi zaidi ya kingine hiyo November 27.2024?

Na je, hicho kinaweza kutumika kama kipimo cha kukubalika kwao kisiasa na wastani wa kiasi cha kura watakachoambulia kuelekea uchaguzi mkuu ujao 2025, wa Rais, wabunge na madiwani? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
Naona sasa hivi unalazimisha kujipatia umaarufu hapa jf kwa kuanzisha mada za cdm, maana unajua hizo zitachangiwa sana😂
 
Tatizo chadema kimevamiwa na wahuni, wanatukana hovyo, ACT kina utulivu, hata wakipewa urais, nchi itaendelea kuwa tulivu
ila kiukweli Chadema ni wabishi mno, kiburi mingi sana, na kujipa umuhimu wasio kua nao, nadhani hiyo dhana imewakimbiza wengi sana kujiunga na vyama vingine vya siasa 🐒
 
Naona sasa hivi unalazimisha kujipatia umaarufu hapa jf kwa kuanzisha mada za cdm, maana unajua hizo zitachangiwa sana😂
kwahivyo umelazimishwa kujitokeza kuchangia mada humu jukwaani right?🐒

huna uelewa au ufahamu kwamba mada hii usipo changia leo unaweza kuichangia hata baada ya miaka kumi ijayo gentleman?🐒

mada zote zinachangiwa kwa uhuru kadiri muungwana wa JF anavyoona inafaa sio wew mpaka ulazimishwe 🐒

na by the way,
hoja kuhusu Chadema ni sawa tu na mahali penye msiba watu niwengi kuomboleza 🐒
 
Tunapoelekea kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji, ni chama gani kati ya ACT Wazalendo na CHADEMA, unadhani kinaweza kuibuka kidedea kwenye mitaa na vijiji vingi zaidi ya kingine hiyo November 27.2024?

Na je, hicho kinaweza kutumika kama kipimo cha kukubalika kwao kisiasa na wastani wa kiasi cha kura watakachoambulia kuelekea uchaguzi mkuu ujao 2025, wa Rais, wabunge na madiwani? 🐒

Mungu Ibariki Tanzania 🐒
ACT = CCM
 
Back
Top Bottom