X xavihernandezalcantara Senior Member Joined Nov 17, 2020 Posts 124 Reaction score 132 Feb 20, 2021 #1 Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido
Hivi kati ya huyu Wizkid anaejiita Star Boy na Davido nani mkali kwenye nyanja zote za Muziki kuanzia Afrika na nje ya Afrika, Nani zaidi Wizzy au Davido
Jasmoni Tegga JF-Expert Member Joined Oct 28, 2020 Posts 12,624 Reaction score 24,751 Feb 20, 2021 #2 Hakuna mkali hapo; najua chui au simba wa Serengeti ndio wakali
Edrese Senior Member Joined Aug 9, 2020 Posts 141 Reaction score 143 Feb 20, 2021 #3 Star Boy [emoji91]
Pabloz JF-Expert Member Joined Oct 24, 2020 Posts 1,818 Reaction score 9,332 Feb 20, 2021 #4 Wizkidayo
babukijana JF-Expert Member Joined Jul 21, 2009 Posts 14,478 Reaction score 18,341 Oct 21, 2021 #5 Hao levo moja na washashiba hela wanaimba kwa kubeep. Kuna Tekno huku ye ni ni mikito baada ya mikito.hategi
Hao levo moja na washashiba hela wanaimba kwa kubeep. Kuna Tekno huku ye ni ni mikito baada ya mikito.hategi