Hivi kati ya Mbagala, Gongo la Mbotoa na Mbezi Mwisho sehemu gani kuna mzunguko mkubwa wa pesa

Hao hela yao ukiwa na local business au unaanza biashara ni nadra sana kula hela yao. Hela ya kuanzia biashara iko huko kwa 1000 na laki ndio tuko nao mitaani
 
Kajamba nani si ndo maan tukasema nafaka kk
 
Hao hela yao ukiwa na local business au unaanza biashara ni nadra sana kula hela yao. Hela ya kuanzia biashara iko huko kwa 1000 na laki ndio tuko nao mitaani
Yes, sisi ni Dunia ya tatu , wengi kipato dunia , hizo elf Tano Tano ukizikusanya zinakupeleka mbali
Hata hivyo ili uweze kuingia kwenye huo mzunguko wa million 100 inabidi uwe na walau million 100 .
Hivyo hizo sehemu za mbagala na g/mboto panafaa sana
 
Umenena kamand afu hajiulizi kwa nini bakhersa na moo wamewekeza huko kwambaje hao nao wenyewe ni kajamba nani
 
Hela inawafata wenye hela kama kina dayamondi wa mbagla
Mbagala ni namba chafu, ikifika saa 6 mchana ATM zote zimepukutishwa...
Nilikuwa nafatilia chuma iko yard, nilizunguka ATM kama 5 kutoa hela ya fundi, zote hola.....
 
Nkow your customer....waliopo wengi ndio kwenye mzunguko Bora wa.kazi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…