Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Jamani wana historia naomba mnifahamishe kuna utata umetokea kuhusu nani alikuwa raisi wa kwanza wa tanzania baada ya tanganyika.....
Kuna wana historia wanasema mwinyi ndo raisi wa kwanza tanzania baada ya tanganyika .
Kuna wana historia wanasema nyerere ndo alikuwa raisi wa kwanza wa tanganyika.
Na wengine wanasema nyerere alikuwa raisi wa tanganyika miaka yote aliyotawala ila kipindi cha kuanzia 1964 hadi 1986 alikuwa ni raisi wa mpito tanzania ila raisi mwenyewe kabisa ni mwinyi....
Hebu tusaidianeni katika hili jambo karibuni tujadili pamojaaaa
Kuna wana historia wanasema mwinyi ndo raisi wa kwanza tanzania baada ya tanganyika .
Kuna wana historia wanasema nyerere ndo alikuwa raisi wa kwanza wa tanganyika.
Na wengine wanasema nyerere alikuwa raisi wa tanganyika miaka yote aliyotawala ila kipindi cha kuanzia 1964 hadi 1986 alikuwa ni raisi wa mpito tanzania ila raisi mwenyewe kabisa ni mwinyi....
Hebu tusaidianeni katika hili jambo karibuni tujadili pamojaaaa