Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Wabongo mnajiona wakishua sana.Sijuagi hata huwa wanaigizaga nini hawa!!yaani nikiona watu wanacheka maigizo ya hawa jamaa huwa nashangaaga sana!!nikiwa kwenye basi ni heri niweke Earphone masikioni nisikilize hata mapambio
Ni show off za kishamba tu,kutaka kujionesha wao ni classic na unakuta ni takataka tu.Wabongo mnajiona wakishua sana.
Nyie ndo mnawasikiliza kina Trevo Noah.
Hao jamaa nilikuwa na-ignore mwanzoni, badae nikajikuta navutiwa nao.Ni show off za kishamba tu,kutaka kujionesha wao ni classic na unakuta ni takataka tu.
kusema kwamba sijawahi kuvutiwa na kazi zao ni kujiona wa kishua!!!naonaga ni too childish ndivyo hivyo,sijakuzuia wewe kucheka mpaka meno yako yote 32 kuwa nje!!!kupanga ni kuchaguaHao jamaa nilikuwa na-ignore mwanzoni, badae nikajikuta navutiwa nao.
Mtu anawaponda watu wa vichekesho ila anasikiliza bongo flava.
Perfect matchTin na Masantula
Na kuna watu wanashangaa enjoyments zako vile vile. Kwenye hii dunia just keep in mind one thing, huwezi ukavutiwa na kila kitu.Sijuagi hata huwa wanaigizaga nini hawa!!yaani nikiona watu wanacheka maigizo ya hawa jamaa huwa nashangaaga sana!!nikiwa kwenye basi ni heri niweke Earphone masikioni nisikilize hata mapambio
Masantula kibokoTin na Masantula
nimeamini tatizo la afya ya akili lipoSijuagi hata huwa wanaigizaga nini hawa!!yaani nikiona watu wanacheka maigizo ya hawa jamaa huwa nashangaaga sana!!nikiwa kwenye basi ni heri niweke Earphone masikioni nisikilize hata mapambio
Hata Mimi sjuagi hata wanachochekesha , naonaga kama maigizo Fulani yasiyoeleweka , Kwa mtu ambaye ana exposure kidog unaweza kuwaona hawa ni wehu ,Sijuagi hata huwa wanaigizaga nini hawa!!yaani nikiona watu wanacheka maigizo ya hawa jamaa huwa nashangaaga sana!!nikiwa kwenye basi ni heri niweke Earphone masikioni nisikilize hata mapambio