Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imeratibu mafunzo kabilisho kwa vijana 374 chuo cha ualimu Mambo bduli.Aidha mafunzo haya yalifanyika chuo cha ualimu Morogoro miaka ya nyuma,wakufunzi hao waliiuwa wanapunjwa katika malipo Yao na baada ya kugundua hilo wasimamizi Wa wizara walipanga kuhamishia Monduli ili waendelee kuwanyonya wakufunzi Wa Monduli,aidha ni kudhalilisha taaluma na wizara kwa ujumla Wake.
Binafsi naamini kuwa katibu mkuu hayajui haya na hatakubali wizara kuchafuliwa na wahuni.
Binafsi naamini kuwa katibu mkuu hayajui haya na hatakubali wizara kuchafuliwa na wahuni.