Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hapa Dodoma, nimefanya kautafiti kadogo kasiko rasimi, na nimegundua sehemu nyingi za biashara kama mabaa, migawaha, n.k, muda mwingi wanapenda ku-tune TBC na Mama anapokuwa live, basi ndio kabisa watamuonyesha mwanzo mwisho.
Sio kosa na sio vibaya kufanya hivyo. Swali ni je, vituo vingine havina vipindi vya kuvutia au vinavypoendwa na wateja wao?
Au wenzetu moja ya shariti lisilo rasimi la leseni zenu za biashara ni kufungulia TBC?
Au tatizo ni wamiliki wenyewe wa hizi sehemu za biashara?
Jamani tukija katika baa zenu, mtbue hatujaja katika ofisi za umma maana huko walau wanaweza kubanwa lakini sio katika sehemu zenu za biashara.
Sio kosa na sio vibaya kufanya hivyo. Swali ni je, vituo vingine havina vipindi vya kuvutia au vinavypoendwa na wateja wao?
Au wenzetu moja ya shariti lisilo rasimi la leseni zenu za biashara ni kufungulia TBC?
Au tatizo ni wamiliki wenyewe wa hizi sehemu za biashara?
Jamani tukija katika baa zenu, mtbue hatujaja katika ofisi za umma maana huko walau wanaweza kubanwa lakini sio katika sehemu zenu za biashara.