Hivi katika umri gani mwanaume anakuwa hana aibu tena?

Njoo unipe iyo fanta yangu hahaa
 
Binadamu wa aina hii ni hasara kwa Taifa lake
 
Waambie hawa waelewe,
Kubwa zaidi ni profile picha yako, imenifanya nijiskie full burudaaaan [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
 
Mchungaji Gwajima ana miaka mingapi? Nahisi atakuwa na miaka 50 au zaidi, yeye ulala na wake wa waumini wake na hanaga haibu hata kidogo. Kwa hiyo haibu ni matatizo ya akili tu ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…